12/05/2012

MUONGOZO WA KUNUNUA LAPTOPU

Kuna wakati mwingine wanteknini tunaweza  kuonekana wanasiasa sababu wanapouizwa swali wanshindwa kutoa jibu moja kwa moja na kuzunguka kama treni. lMajibu kamahaya kweli yanaweza kuwa ya kisiasa au yanaweza  ni muongozo  jibu sahihi kulingana na mazigira au mhitaji ya mtu aliyotoa kala ya kupewa ushauri

Uchaguzi na ushauri ni kompyuta gani itakufaa inategemea na mambo kadhaa kama
  • matumizi -mara nyingi  Itatulia sehemu moja au itahamishwa hamishwa. Ni kwa ajili ya internet na Ms word au kuna kazi kama za photoshop, kucheza game na kutayrisha miziki 
  • kiasi cha pesa ul. - Kiwangocha juu na chini na bajeti muhusika aichtenga wa ajili ya manunuzi. Katika soko kuna bidhaa zinatofationa sana bei 

Vigezo vingine  vya kuzingatia ni upatikanaji wa spare na kampuni za kussuport laptop/kompyuta husika eneo ulilopo.Maoni ya watumini wa awali wa laptop ni kitu muhimu cha kuzingati pia ili ujiridhisha . Kabla ya kuinunua soma maoni ya watumiaji kutoka tovuti ambazo si za watengenezaji.(internet shopping)


Tovuti ya BBC Muongozo wa kununua Laptop/computer imetenga makundi manne ya watumiaji wa laptop . katika hayo makundi(Casual, Traveller, Home,Multimedia, Gamer ) wametaja ni specification gani mnunuzi anashauriwa kuzingatia na ni wastani wa kiasi gani itamgahrimu. Lakini kuhusu muongozo wa bei za BBC ni maoni yangu binafsi kuwa UK  bidhaa zao ziko overpriced kulingana na maisha yao ni ya hali ya juu. Kwa hiyo msomaji asizingatie sana bei.

Pia siku zote changua brand zinazojulikana kama HP, Toshiba, Acer, Dell,IBM, Asus, Sony etc .

Kama una swali maoni au ushauri dondosha ujumbe .

11/05/2012

Sayansi ya tetemeko la Ardhi

Miaka kadhaa nyuma tulisoma na kuona kwenye vyombo vya habari kuhusus tetemeko  laardhi kubwa pwani ya Japan. Baadaya ya mtetemeko huo  zilifuata dhahama nyingine za sunami  na janga la mitambo ya miozi  ya nyuklia iiyotumika kuzalisha umemem kuvuja

http://blogs.smithsonianmag.com/science/2011/03/the-science-behind-the-japanese-earthquake/


10/05/2012

Olympus waja na Tough

Kampuni ya Olympus wametoa   Digital camera mpya kwa  jina  la Olympus Tough  amabyo ina kinga nne
Kwa  watu wonapenda kuchuua chukua picha za matukio na zaidi kwa wale  wanatafuta  digital kamera amabyo anajua itaumika na watu wengi kwenye familia basi   kamera hii inawezakuwachaguasahihi na  kihimili vishindo na matatizo ya kimazingira .
Ina Kinga gani?
Kamera ya Olympus tough   ina kinga nne  . Ya
  • kuzuia kuingiliwa na maji (waterproof)
  • Kuhimili mtikisiko mkubwa (shockproof).
  • Yau ktoharibika hata ikidondoka kwenye kitu kigumu (crushproof) kutoka umbali kadhaa
  • Uchafu(dust proof)  hasa kwenye lens
  • Vile vile wale wa majuu kwenye nchi zenye haliya ya ubaridimkali  kamera hiiina kinga ya kutoahathira kwenye freezing
Olympus tough
kamera
Zaidi ya  hizo kinga  Olympus tough ina sensor ya 12 Megapixel  na ina optical zoom ya 4x.
Kinga  ya kutoharibika ikiingiliwa na maji inafanya kazihadi kwenye kina kisichozidi  futi 40. Kinga ya kudododnda  ni kwam ubazli uziozidi  futi saba
Na kuhusu bei je ?
Kamera hii itapatiana kuanzia mwezi June 2012 kati karangi ya shaba   na bei itakwa ni  $400.
Je wewe ni digtal camera amabyo kwako ni   ni bora

HISABATI

Usishtuke hii mada hapa ndo mahala . Tuongelee story na history za somo la hesabu.

Hili somo liikuwa moja ya changamoto kubwawangu ( Naamin wapo na wenzangu wengi tu) .Iwe nishule zamsingi sekondary au hata walieoendelanalohali "Havard" na "Oxfrd" za hapa bongo na huko majuu .
Sasa tukumbushane

  • Ni mada gani ya somo hil iiikusumbua au kuichukia- Nilichukia Hesabu za Log tehteh teh
  • Ni mada gani ilikuvutia- Teheteh simultenous equation
  • Ni topic gani ya hesabu unadhani ni muhimu kwa wanafuziwa sekndarykuimudu ambayo ina application kwenye maisha ya kitaa Mimi nadhani ni statistcis na Probability


Haya karibu tuzungumzie anything abaut HISABATI but  not real hisabati equations
.